-
Waebrania 7:11Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
11 Basi, kama kwa kweli ukamilifu ungekuwa ni kupitia ukuhani wa Kilawi, (kwa maana huo ukiwa sehemu kuu watu walipewa Sheria,) kungekuwa na uhitaji gani zaidi wa kuhani mwingine kuinuka kulingana na namna ya Melkizedeki na asiyesemwa kuwa alingana na namna ya Aroni?
-