Zaburi 110:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yehova ameapa+ (naye hatajuta):+“Wewe ni kuhani mpaka wakati usio na kipimo+Kwa mfano wa Melkizedeki!”+ Waebrania 5:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kama vile anavyosema pia mahali pengine: “Wewe ni kuhani milele kwa mfano wa Melkizedeki.”+ Waebrania 6:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 ambamo mtangulizi ameingia kwa ajili yetu,+ Yesu, ambaye amekuwa kuhani mkuu milele kwa mfano wa Melkizedeki.+
4 Yehova ameapa+ (naye hatajuta):+“Wewe ni kuhani mpaka wakati usio na kipimo+Kwa mfano wa Melkizedeki!”+
20 ambamo mtangulizi ameingia kwa ajili yetu,+ Yesu, ambaye amekuwa kuhani mkuu milele kwa mfano wa Melkizedeki.+