Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 3:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Na Israeli wote wakasikia habari za uamuzi huo wa hukumu+ ambao mfalme alikuwa ametoa; nao wakaogopa kwa sababu ya mfalme,+ kwa maana waliona kwamba hekima+ ya Mungu ilikuwa ndani yake ili afanye uamuzi wa hukumu.

  • 1 Wafalme 4:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Na Mungu akaendelea kumpa Sulemani hekima+ na uelewaji+ kwa wingi sana na ukunjufu wa moyo,+ kama mchanga ulio kando ya bahari.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 1:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Sasa unipe hekima na ujuzi+ ili nitoke mbele ya watu hawa na ili niingie ndani,+ kwa maana ni nani anayeweza kuwahukumu hawa watu wako walio wengi?”+

  • Methali 2:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kwa maana Yehova mwenyewe anatoa hekima;+ kinywani mwake hutoka ujuzi na utambuzi.+

  • Methali 8:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Chukueni nidhamu yangu wala si fedha, na ujuzi badala ya dhahabu bora.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki