Yoshua 4:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Siku hiyo Yehova alimfanya Yoshua kuwa mkuu machoni pa Israeli wote,+ nao wakaanza kumwogopa kama vile walivyokuwa wakimwogopa Musa siku zote za maisha yake.+ 1 Samweli 12:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ndipo Samweli akamwita Yehova,+ naye Yehova akaleta mngurumo na mvua siku hiyo,+ hivi kwamba watu wote wakawaogopa sana Yehova na Samweli. 1 Mambo ya Nyakati 29:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Nao wakuu+ wote na wanaume wenye nguvu+ na pia wana wote wa Mfalme Daudi,+ wakajitiisha kwa Sulemani mfalme. Zaburi 72:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Watakuogopa maadamu jua lipo,+Na mbele ya mwezi kwa kizazi baada ya kizazi.+ Methali 24:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Mwanangu, mwogope Yehova na mfalme.+ Usishirikiane na watu wanaotaka badiliko.+
14 Siku hiyo Yehova alimfanya Yoshua kuwa mkuu machoni pa Israeli wote,+ nao wakaanza kumwogopa kama vile walivyokuwa wakimwogopa Musa siku zote za maisha yake.+
18 Ndipo Samweli akamwita Yehova,+ naye Yehova akaleta mngurumo na mvua siku hiyo,+ hivi kwamba watu wote wakawaogopa sana Yehova na Samweli.
24 Nao wakuu+ wote na wanaume wenye nguvu+ na pia wana wote wa Mfalme Daudi,+ wakajitiisha kwa Sulemani mfalme.