Zaburi 19:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ni ya kutamaniwa kuliko dhahabu, naam, kuliko dhahabu safi sana;+Na tamu kuliko asali+ na asali yenye kutiririka ya sega.+ Zaburi 119:72 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 72 Sheria+ ya kinywa chako ni njema kwangu,+Kuliko maelfu ya vipande vya dhahabu na fedha.+ Zaburi 119:127 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 127 Ndiyo sababu nimezipenda amri zako+Kuliko dhahabu, naam, dhahabu safi.+ Methali 3:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 kwa maana kuwa nayo kama mapato ni bora kuliko kuwa na mapato ya fedha na kuwa nayo kama mazao ni bora kuliko dhahabu+ yenyewe. Methali 16:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kupata hekima ni bora kama nini kuliko dhahabu!+ Na kupata uelewaji kunapasa kuchaguliwa kuliko fedha.+ Methali 20:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kuna dhahabu, pia kuna wingi wa marijani; lakini midomo ya ujuzi ni vyombo vyenye thamani.+
10 Ni ya kutamaniwa kuliko dhahabu, naam, kuliko dhahabu safi sana;+Na tamu kuliko asali+ na asali yenye kutiririka ya sega.+
14 kwa maana kuwa nayo kama mapato ni bora kuliko kuwa na mapato ya fedha na kuwa nayo kama mazao ni bora kuliko dhahabu+ yenyewe.
16 Kupata hekima ni bora kama nini kuliko dhahabu!+ Na kupata uelewaji kunapasa kuchaguliwa kuliko fedha.+