Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 19:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Ni ya kutamaniwa kuliko dhahabu, naam, kuliko dhahabu safi sana;+

      Na tamu kuliko asali+ na asali yenye kutiririka ya sega.+

  • Zaburi 119:72
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  72 Sheria+ ya kinywa chako ni njema kwangu,+

      Kuliko maelfu ya vipande vya dhahabu na fedha.+

  • Zaburi 119:127
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 127 Ndiyo sababu nimezipenda amri zako+

      Kuliko dhahabu, naam, dhahabu safi.+

  • Methali 3:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 kwa maana kuwa nayo kama mapato ni bora kuliko kuwa na mapato ya fedha na kuwa nayo kama mazao ni bora kuliko dhahabu+ yenyewe.

  • Methali 16:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kupata hekima ni bora kama nini kuliko dhahabu!+ Na kupata uelewaji kunapasa kuchaguliwa kuliko fedha.+

  • Methali 20:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kuna dhahabu, pia kuna wingi wa marijani; lakini midomo ya ujuzi ni vyombo vyenye thamani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki