Zaburi 19:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ni ya kutamaniwa kuliko dhahabu, naam, kuliko dhahabu safi sana;+Na tamu kuliko asali+ na asali yenye kutiririka ya sega.+ Zaburi 119:72 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 72 Sheria+ ya kinywa chako ni njema kwangu,+Kuliko maelfu ya vipande vya dhahabu na fedha.+ Methali 3:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 kwa maana kuwa nayo kama mapato ni bora kuliko kuwa na mapato ya fedha na kuwa nayo kama mazao ni bora kuliko dhahabu+ yenyewe. Methali 8:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana hekima ni bora kuliko marijani,+ na vitu vingine vyote vyenye kupendeza haviwezi kulinganishwa nayo.+ Methali 16:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kupata hekima ni bora kama nini kuliko dhahabu!+ Na kupata uelewaji kunapasa kuchaguliwa kuliko fedha.+
10 Ni ya kutamaniwa kuliko dhahabu, naam, kuliko dhahabu safi sana;+Na tamu kuliko asali+ na asali yenye kutiririka ya sega.+
14 kwa maana kuwa nayo kama mapato ni bora kuliko kuwa na mapato ya fedha na kuwa nayo kama mazao ni bora kuliko dhahabu+ yenyewe.
11 Kwa maana hekima ni bora kuliko marijani,+ na vitu vingine vyote vyenye kupendeza haviwezi kulinganishwa nayo.+
16 Kupata hekima ni bora kama nini kuliko dhahabu!+ Na kupata uelewaji kunapasa kuchaguliwa kuliko fedha.+