Zaburi 119:127 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 127 Ndiyo sababu nimezipenda amri zako+Kuliko dhahabu, naam, dhahabu safi.+ Methali 8:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Chukueni nidhamu yangu wala si fedha, na ujuzi badala ya dhahabu bora.+ Mhubiri 7:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana hekima ni ulinzi,+ kama vile pesa ni ulinzi;+ lakini faida ya ujuzi ni kwamba hekima huwahifadhi hai waliyo nayo.+
12 Kwa maana hekima ni ulinzi,+ kama vile pesa ni ulinzi;+ lakini faida ya ujuzi ni kwamba hekima huwahifadhi hai waliyo nayo.+