Methali 10:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Vitu vyenye thamani vya tajiri ni mji wake wenye nguvu.+ Uharibifu wa watu wa hali ya chini ni umaskini wao.+ Luka 16:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “Pia, ninawaambia ninyi, Jifanyieni rafiki+ kupitia mali+ zisizo za uadilifu, ili, zitakapopunguka wawapokee ninyi katika makao ya milele.+
15 Vitu vyenye thamani vya tajiri ni mji wake wenye nguvu.+ Uharibifu wa watu wa hali ya chini ni umaskini wao.+
9 “Pia, ninawaambia ninyi, Jifanyieni rafiki+ kupitia mali+ zisizo za uadilifu, ili, zitakapopunguka wawapokee ninyi katika makao ya milele.+