Ayubu 31:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Ikiwa nimeifanya dhahabu kuwa tumaini langu,Au nimeiambia dhahabu, ‘Wewe ni tegemeo langu!’+ Mhubiri 7:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana hekima ni ulinzi,+ kama vile pesa ni ulinzi;+ lakini faida ya ujuzi ni kwamba hekima huwahifadhi hai waliyo nayo.+ Luka 12:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 nami nitaiambia+ nafsi yangu: “Nafsi yangu, una vitu vyema vingi vilivyokusanywa kwa miaka mingi; starehe, ule, unywe, na kujifurahisha.” ’+
12 Kwa maana hekima ni ulinzi,+ kama vile pesa ni ulinzi;+ lakini faida ya ujuzi ni kwamba hekima huwahifadhi hai waliyo nayo.+
19 nami nitaiambia+ nafsi yangu: “Nafsi yangu, una vitu vyema vingi vilivyokusanywa kwa miaka mingi; starehe, ule, unywe, na kujifurahisha.” ’+