Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 49:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa maana muda wote wa maisha yake alikuwa akiibariki nafsi yake mwenyewe;+

      (Na watu watakusifu kwa sababu unajiendeleza vizuri)+

  • Mhubiri 11:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Ewe kijana, shangilia+ katika ujana wako, na moyo wako ukufanyie mema siku za ujana wako, nawe utembee katika njia za moyo wako na katika mambo ambayo macho yako yameona.+ Lakini ujue kwamba kwa ajili ya mambo yote hayo, Mungu wa kweli atakuleta hukumuni.+

  • Luka 16:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “Lakini mtu+ fulani alikuwa tajiri, naye alikuwa akijipamba kwa mavazi ya zambarau na kitani, akijifurahisha siku baada ya siku kwa fahari.+

  • Yakobo 4:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Haya, basi, ninyi ambao husema: “Leo au kesho tutasafiri kwenda jiji fulani nasi tutakaa mwaka mmoja huko, tutafanya biashara na kupata faida,”+

  • Yakobo 5:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Ninyi mmeishi katika anasa duniani nanyi mmejiingiza katika tamaa za mwili.+ Mmeinonesha mioyo yenu katika siku ya machinjo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki