- 
	                        
            
            Kumbukumbu la Torati 16:11Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
- 
                            - 
                                        11 Nawe utashangilia mbele za Yehova Mungu wako,+ wewe na mwana wako na binti yako na mtumishi wako na kijakazi wako na Mlawi aliye ndani ya malango yako na mkaaji mgeni+ na mvulana asiye na baba+ na mjane,+ walio katikati yako, katika mahali ambapo Yehova Mungu wako atapachagua ili jina lake likae.+ 
 
-