Zaburi 34:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mtukuzeni Yehova pamoja nami,+Na tulikweze jina lake pamoja.+ Zaburi 69:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Na uzao wa watumishi wake wataurithi,+Na wale wanaolipenda jina lake ndio watakaokaa humo.+