9 Na uzao wao kwa kweli utajulikana katika mataifa, na wazao wao katikati ya vikundi vya watu.+ Wale wote wanaowaona watawatambua,+ kwamba wao ni uzao ambao Yehova amebariki.”+
22 “Kwa maana kama vile mbingu mpya+ na dunia mpya+ ninazozifanya zinavyosimama mbele zangu,”+ asema Yehova, “ndivyo uzao wenu+ na jina lenu litakavyoendelea kusimama.”+