Zaburi 115:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ninyi ndio mliobarikiwa na Yehova,+Mtengenezaji wa mbingu na dunia.+ Isaya 65:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Hawatafanya kazi ya bure,+ wala hawatazaa kwa ajili ya kupata usumbufu;+ kwa sababu wao ni uzao wa watu wa Yehova waliobarikiwa,+ na wazao wao pamoja nao.+
23 Hawatafanya kazi ya bure,+ wala hawatazaa kwa ajili ya kupata usumbufu;+ kwa sababu wao ni uzao wa watu wa Yehova waliobarikiwa,+ na wazao wao pamoja nao.+