21 “Lakini mimi, hili ndilo agano langu pamoja nao,”+ Yehova amesema.
“Roho yangu iliyo juu yako+ na maneno yangu ambayo nimetia kinywani mwako+—hayataondolewa kinywani mwako wala kinywani mwa uzao wako wala kinywani mwa uzao wa uzao wako,” Yehova amesema, “tangu sasa mpaka wakati usio na kipimo.”+