Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 59:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “Lakini mimi, hili ndilo agano langu pamoja nao,”+ Yehova amesema.

      “Roho yangu iliyo juu yako+ na maneno yangu ambayo nimetia kinywani mwako+—hayataondolewa kinywani mwako wala kinywani mwa uzao wako wala kinywani mwa uzao wa uzao wako,” Yehova amesema, “tangu sasa mpaka wakati usio na kipimo.”+

  • Isaya 66:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 “Kwa maana kama vile mbingu mpya+ na dunia mpya+ ninazozifanya zinavyosimama mbele zangu,”+ asema Yehova, “ndivyo uzao wenu+ na jina lenu litakavyoendelea kusimama.”+

  • Yeremia 32:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Nami nitawapa moyo mmoja+ na njia moja ili waniogope sikuzote, iwe kwa mema yao na kwa mema ya wana wao baada yao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki