Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 51:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Nami nitayatia maneno yangu katika kinywa chako,+ na hakika mimi nitakufunika kwa kivuli cha mkono wangu,+ ili kuzipanda mbingu+ na kuuweka msingi wa dunia+ na kuuambia Sayuni, ‘Ninyi ni watu wangu.’+

  • Yeremia 31:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 “Nao hawatafundishana tena kila mtu na mwenzake wala kila mtu na ndugu yake,+ wakisema, ‘Mjueni Yehova!’+ kwa maana wote watanijua mimi, kuanzia yule aliye mdogo zaidi kati yao mpaka yule aliye mkubwa zaidi kati yao,”+ asema Yehova. “Kwa maana nitalisamehe kosa lao, na dhambi yao sitaikumbuka tena.”+

  • Yohana 7:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Yesu naye akawajibu na kusema: “Yale ninayofundisha si yangu, bali ni yake yeye aliyenituma.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki