8 Ni nani amesikia jambo kama hili?+ Ni nani ameona mambo kama haya?+ Je, nchi+ itazaliwa kwa uchungu katika siku moja?+ Au, je, taifa+ litazaliwa wakati uleule mmoja?+ Kwa maana Sayuni ameshikwa na uchungu wa kuzaa naye vilevile amezaa wanawe.
22 “Kwa maana kama vile mbingu mpya+ na dunia mpya+ ninazozifanya zinavyosimama mbele zangu,”+ asema Yehova, “ndivyo uzao wenu+ na jina lenu litakavyoendelea kusimama.”+