6 Katika siku zinazokuja Yakobo atatia mizizi, Israeli+ atachanua maua na kwa kweli achipuke; na kwelikweli wao watajaza matunda juu ya uso wa nchi yenye kuzaa.+
9 Nami nitaleta uzao kutoka katika Yakobo+ na mrithi wa milima yangu kutoka katika Yuda;+ na wachaguliwa wangu wataumiliki,+ na watumishi wangu wenyewe watakaa huko.+