Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 92:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Wale ambao wamepandwa katika nyumba ya Yehova,+

      Katika nyua za Mungu wetu,+ watachanuka.

  • Isaya 37:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Na wale watakaoponyoka wa nyumba ya Yuda, wale wanaobaki,+ hakika watatia mizizi kwenda chini na kuzaa matunda kwenda juu.+

  • Isaya 60:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Mdogo atakuwa elfu, na mnyonge atakuwa taifa lenye nguvu.+ Mimi mwenyewe, Yehova, nitaharakisha jambo hilo kwa wakati wake.”+

  • Yeremia 30:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na kutoka kwao hakika shukrani zitatolewa, na sauti ya wale wanaocheka.+ Nami nitawazidisha, nao hawatakuwa wachache;+ nami nitawafanya kuwa wengi katika hesabu, nao hawatakuwa wanyonge.+

  • Hosea 14:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Nitakuwa kama umande kwa Israeli.+ Atachanua kama yungiyungi, na kueneza mizizi yake kama mti wa Lebanoni.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki