Zaburi 92:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Wale ambao wamepandwa katika nyumba ya Yehova,+Katika nyua za Mungu wetu,+ watachanuka. Isaya 37:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Na wale watakaoponyoka wa nyumba ya Yuda, wale wanaobaki,+ hakika watatia mizizi kwenda chini na kuzaa matunda kwenda juu.+ Isaya 60:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Mdogo atakuwa elfu, na mnyonge atakuwa taifa lenye nguvu.+ Mimi mwenyewe, Yehova, nitaharakisha jambo hilo kwa wakati wake.”+ Yeremia 30:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na kutoka kwao hakika shukrani zitatolewa, na sauti ya wale wanaocheka.+ Nami nitawazidisha, nao hawatakuwa wachache;+ nami nitawafanya kuwa wengi katika hesabu, nao hawatakuwa wanyonge.+ Hosea 14:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nitakuwa kama umande kwa Israeli.+ Atachanua kama yungiyungi, na kueneza mizizi yake kama mti wa Lebanoni.
31 Na wale watakaoponyoka wa nyumba ya Yuda, wale wanaobaki,+ hakika watatia mizizi kwenda chini na kuzaa matunda kwenda juu.+
22 Mdogo atakuwa elfu, na mnyonge atakuwa taifa lenye nguvu.+ Mimi mwenyewe, Yehova, nitaharakisha jambo hilo kwa wakati wake.”+
19 Na kutoka kwao hakika shukrani zitatolewa, na sauti ya wale wanaocheka.+ Nami nitawazidisha, nao hawatakuwa wachache;+ nami nitawafanya kuwa wengi katika hesabu, nao hawatakuwa wanyonge.+
5 Nitakuwa kama umande kwa Israeli.+ Atachanua kama yungiyungi, na kueneza mizizi yake kama mti wa Lebanoni.