Isaya 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kama Yehova wa majeshi hangalituachia waokokaji wachache tu,+ tungalikuwa kama Sodoma, tungalifanana na Gomora.+ Isaya 10:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Mabaki wachache watarudi, mabaki ya Yakobo, kwa Mungu Mwenye Nguvu.+ Waroma 9:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Zaidi ya hayo, Isaya anapaaza sauti kuhusu Israeli: “Ijapokuwa hesabu ya wana wa Israeli huenda ikawa kama mchanga wa bahari,+ ni mabaki watakaookolewa.+ Waroma 11:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Basi, kwa njia hiyo katika majira ya sasa kumetokea pia mabaki+ kulingana na kuchaguliwa+ ambako kunatokana na fadhili zisizostahiliwa.
9 Kama Yehova wa majeshi hangalituachia waokokaji wachache tu,+ tungalikuwa kama Sodoma, tungalifanana na Gomora.+
27 Zaidi ya hayo, Isaya anapaaza sauti kuhusu Israeli: “Ijapokuwa hesabu ya wana wa Israeli huenda ikawa kama mchanga wa bahari,+ ni mabaki watakaookolewa.+
5 Basi, kwa njia hiyo katika majira ya sasa kumetokea pia mabaki+ kulingana na kuchaguliwa+ ambako kunatokana na fadhili zisizostahiliwa.