Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 65:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Nami nitaleta uzao kutoka katika Yakobo+ na mrithi wa milima yangu kutoka katika Yuda;+ na wachaguliwa wangu wataumiliki,+ na watumishi wangu wenyewe watakaa huko.+

  • Hosea 1:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Na hesabu ya wana wa Israeli itakuwa kama chembe za mchanga wa bahari ambao hauwezi kupimwa wala kuhesabiwa.+ Na itakuwa kwamba mahali ambapo walikuwa wakiambiwa, ‘Ninyi si watu wangu,’+ wataambiwa, ‘Wana wa Mungu aliye hai.’+

  • Hosea 6:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Njooni, turudi kwa Yehova,+ kwa maana yeye mwenyewe amerarua vipande-vipande,+ lakini atatuponya.+ Alizidi kupiga, lakini atatufunga kitambaa.+

  • Waroma 9:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Pia, kama Isaya alivyokuwa amesema wakati uliotangulia: “Kama Yehova wa majeshi+ hangalituachia sisi uzao, tungalikuwa kama Sodoma, nasi tungalifanywa kama Gomora.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki