9 Nami nitaleta uzao kutoka katika Yakobo+ na mrithi wa milima yangu kutoka katika Yuda;+ na wachaguliwa wangu wataumiliki,+ na watumishi wangu wenyewe watakaa huko.+
10 “Na hesabu ya wana wa Israeli itakuwa kama chembe za mchanga wa bahari ambao hauwezi kupimwa wala kuhesabiwa.+ Na itakuwa kwamba mahali ambapo walikuwa wakiambiwa, ‘Ninyi si watu wangu,’+ wataambiwa, ‘Wana wa Mungu aliye hai.’+
29 Pia, kama Isaya alivyokuwa amesema wakati uliotangulia: “Kama Yehova wa majeshi+ hangalituachia sisi uzao, tungalikuwa kama Sodoma, nasi tungalifanywa kama Gomora.”+