Isaya 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kama Yehova wa majeshi hangalituachia waokokaji wachache tu,+ tungalikuwa kama Sodoma, tungalifanana na Gomora.+ Yeremia 50:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 “Kama yalivyokuwa maangamizi ya Mungu juu ya Sodoma na Gomora+ na miji yake jirani,”+ asema Yehova, “vivyo hivyo hakuna mtu atakayekaa humo, wala mwana wa binadamu hatakaa humo akiwa mgeni.+
9 Kama Yehova wa majeshi hangalituachia waokokaji wachache tu,+ tungalikuwa kama Sodoma, tungalifanana na Gomora.+
40 “Kama yalivyokuwa maangamizi ya Mungu juu ya Sodoma na Gomora+ na miji yake jirani,”+ asema Yehova, “vivyo hivyo hakuna mtu atakayekaa humo, wala mwana wa binadamu hatakaa humo akiwa mgeni.+