Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 35:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nayo nchi+ ambayo nimewapa Abrahamu na Isaka, nitakupa wewe, na uzao+ wako baada yako.”

  • Isaya 60:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Na kwa habari ya watu wako, wote watakuwa waadilifu;+ mpaka wakati usio na kipimo wataimiliki nchi,+ chipukizi nililolipanda,+ kazi ya mikono yangu,+ ili mimi nirembeshwe.+

  • Ezekieli 36:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na ninyi wenyewe, enyi milima ya Israeli, mtatoa matawi yenu wenyewe na kuzaa matunda yenu wenyewe kwa ajili ya watu wangu Israeli,+ kwa maana wamekaribia hatua ya kuingia ndani.+

  • Obadia 17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Na katika Mlima Sayuni ndipo watakapokuwa wale wanaoponyoka,+ nao utakuwa kitu kitakatifu;+ na nyumba ya Yakobo itamiliki mali yao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki