Ezekieli 36:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini ninyi, enyi milima ya Israeli, mtachipusha matawi na kuzaa matunda yenu kwa ajili ya watu wangu Waisraeli,+ kwa maana watarudi hivi karibuni. Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 36:8 Mnara wa Mlinzi,9/15/1988, uku. 24
8 Lakini ninyi, enyi milima ya Israeli, mtachipusha matawi na kuzaa matunda yenu kwa ajili ya watu wangu Waisraeli,+ kwa maana watarudi hivi karibuni.