Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 14:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na vikundi vya watu kwa kweli vitawachukua na kuwaleta mahali pao wenyewe, na nyumba ya Israeli watajichukulia hao wawe urithi juu ya udongo wa Yehova wakiwa watumishi wanaume na wakiwa wajakazi;+ nao watawateka+ wale wanaowashika mateka, nao watawatiisha wale waliokuwa wakiwalazimisha kwenda kazini.+

  • Ezekieli 35:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Kwa sababu ulisema, ‘Mataifa haya mawili na nchi hizi mbili—zitakuwa zangu mwenyewe, nasi hakika tutaitwaa kila nchi,’+ ijapokuwa Yehova mwenyewe alikuwa hapo,+

  • Amosi 9:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 ili kwamba wamiliki mabaki ya Edomu,+ na mataifa yote ambayo juu yao jina langu limeitwa,’+ asema Yehova, anayefanya hayo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki