Zaburi 48:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Yehova ni mkuu na wa kusifiwa sana+Katika jiji la Mungu wetu,+ katika mlima wake mtakatifu.+ Ezekieli 48:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 “Kuzunguka pande zote kutakuwa mikono 18,000; na jina la jiji kutoka siku hiyo na kuendelea litakuwa, Yehova Mwenyewe Yupo Hapo.”+ Sefania 3:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Yehova ameziondoa hukumu juu yako.+ Amemgeuzia mbali adui yako.+ Mfalme wa Israeli, Yehova, yupo katikati yako.+ Hutaogopa msiba tena.+
35 “Kuzunguka pande zote kutakuwa mikono 18,000; na jina la jiji kutoka siku hiyo na kuendelea litakuwa, Yehova Mwenyewe Yupo Hapo.”+
15 Yehova ameziondoa hukumu juu yako.+ Amemgeuzia mbali adui yako.+ Mfalme wa Israeli, Yehova, yupo katikati yako.+ Hutaogopa msiba tena.+