Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 48:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 48 Yehova ni mkuu na wa kusifiwa sana+

      Katika jiji la Mungu wetu,+ katika mlima wake mtakatifu.+

  • Ezekieli 48:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 “Kuzunguka pande zote kutakuwa mikono 18,000; na jina la jiji kutoka siku hiyo na kuendelea litakuwa, Yehova Mwenyewe Yupo Hapo.”+

  • Sefania 3:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Yehova ameziondoa hukumu juu yako.+ Amemgeuzia mbali adui yako.+ Mfalme wa Israeli, Yehova, yupo katikati yako.+ Hutaogopa msiba tena.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki