Mika 7:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na adui yangu ataona, aibu itamfunika,+ yeye aliyekuwa akiniambia: “Yuko wapi, Yehova Mungu wako?”+ Macho yangu mwenyewe yatamtazama huyo mwanamke.+ Sasa atakuwa mahali pa kukanyaga-kanyaga, kama matope ya barabarani.+ Zekaria 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Maana tazama, ninatikisa mkono wangu juu yao,+ nao watakuwa nyara kwa watumwa wao.’+ Nanyi mtajua ya kwamba Yehova wa majeshi amenituma mimi.+ Waroma 8:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Ni nani atakayefanya shtaka juu ya waliochaguliwa wa Mungu?+ Mungu Ndiye anayewatangaza kuwa waadilifu.+
10 Na adui yangu ataona, aibu itamfunika,+ yeye aliyekuwa akiniambia: “Yuko wapi, Yehova Mungu wako?”+ Macho yangu mwenyewe yatamtazama huyo mwanamke.+ Sasa atakuwa mahali pa kukanyaga-kanyaga, kama matope ya barabarani.+
9 Maana tazama, ninatikisa mkono wangu juu yao,+ nao watakuwa nyara kwa watumwa wao.’+ Nanyi mtajua ya kwamba Yehova wa majeshi amenituma mimi.+
33 Ni nani atakayefanya shtaka juu ya waliochaguliwa wa Mungu?+ Mungu Ndiye anayewatangaza kuwa waadilifu.+