2 “Semeni na moyo wa Yerusalemu+ na kumwambia kwamba utumishi wake wa kijeshi umetimizwa,+ kwamba kosa lake limelipwa.+ Kwa maana kutoka mkononi mwa Yehova amepokea hesabu kamili kwa ajili ya dhambi zake zote.”+
13 Na itakuwa kwamba kama vile mlivyokuwa laana katikati ya mataifa,+ enyi nyumba ya Yuda na nyumba ya Israeli,+ ndivyo nitakavyowaokoa, nanyi mtakuwa baraka.+ Msiogope.+ Mikono yenu na iwe na nguvu.’+