Isaya 33:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa maana Yehova ni Mwamuzi+ wetu, Yehova ni Mpaji-sheria+ wetu, Yehova ni Mfalme+ wetu; yeye mwenyewe atatuokoa.+ Ezekieli 48:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 “Kuzunguka pande zote kutakuwa mikono 18,000; na jina la jiji kutoka siku hiyo na kuendelea litakuwa, Yehova Mwenyewe Yupo Hapo.”+ Ufunuo 7:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ndiyo sababu wako mbele+ ya kile kiti cha ufalme cha Mungu; nao wanamtolea utumishi mtakatifu+ mchana na usiku katika hekalu lake; na Yule anayeketi juu ya kiti cha ufalme+ atatandaza hema+ lake juu yao.
22 Kwa maana Yehova ni Mwamuzi+ wetu, Yehova ni Mpaji-sheria+ wetu, Yehova ni Mfalme+ wetu; yeye mwenyewe atatuokoa.+
35 “Kuzunguka pande zote kutakuwa mikono 18,000; na jina la jiji kutoka siku hiyo na kuendelea litakuwa, Yehova Mwenyewe Yupo Hapo.”+
15 Ndiyo sababu wako mbele+ ya kile kiti cha ufalme cha Mungu; nao wanamtolea utumishi mtakatifu+ mchana na usiku katika hekalu lake; na Yule anayeketi juu ya kiti cha ufalme+ atatandaza hema+ lake juu yao.