Yeremia 3:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Wakati huo wataita Yerusalemu kuwa kiti cha ufalme cha Yehova;+ na mataifa yote yataletwa pamoja+ kwake kwa jina la Yehova katika Yerusalemu,+ nao hawataufuata tena ukaidi wa moyo wao mbaya.”+ Yoeli 3:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Na damu yao ambayo niliiona kuwa ina hatia nitaiona kuwa haina hatia;+ Yehova naye atakuwa anakaa katika Sayuni.”+ Zekaria 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Paaza sauti na kushangilia, Ee binti Sayuni;+ kwa maana mimi naja,+ nami nitakaa katikati yako,”+ asema Yehova.
17 Wakati huo wataita Yerusalemu kuwa kiti cha ufalme cha Yehova;+ na mataifa yote yataletwa pamoja+ kwake kwa jina la Yehova katika Yerusalemu,+ nao hawataufuata tena ukaidi wa moyo wao mbaya.”+
21 Na damu yao ambayo niliiona kuwa ina hatia nitaiona kuwa haina hatia;+ Yehova naye atakuwa anakaa katika Sayuni.”+
10 “Paaza sauti na kushangilia, Ee binti Sayuni;+ kwa maana mimi naja,+ nami nitakaa katikati yako,”+ asema Yehova.