Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 103:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Hakututendea kulingana na dhambi zetu;+

      Wala kuleta juu yetu kile tunachostahili kulingana na makosa yetu.+

  • Isaya 4:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Yehova atakapokuwa ameosha kinyesi cha binti za Sayuni+ naye atausafisha+ umwagaji wa damu+ wa Yerusalemu kutoka ndani yake kwa roho ya hukumu na kwa roho ya kuteketeza,+

  • Ezekieli 36:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Nami nitawanyunyizia maji safi, nanyi mtakuwa safi;+ nami nitawasafisha ninyi kutokana na uchafu+ wenu wote na kutokana na sanamu zenu zote za mavi.+

  • Mika 7:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Atatuonyesha rehema tena;+ atayatiisha makosa yetu.+ Nawe utazitupa dhambi zao zote+ katika vilindi vya bahari.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki