13 Na baada ya yote ambayo yamekuja juu yetu kwa sababu ya matendo yetu mabaya+ na hatia yetu kubwa—kwa maana wewe mwenyewe, Ee Mungu wetu, umepunguza uzito wa makosa yetu,+ nawe umetupa sisi wale walioponyoka kama hawa+—
7 Mtu mwovu aiache njia yake,+ na mtu mwenye madhara ayaache mawazo yake;+ naye arudi kwa Yehova, ambaye atamwonyesha rehema,+ na kwa Mungu wetu, kwa maana atasamehe kwa njia kubwa.+