Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 30:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 ndipo Yehova Mungu wako atakaporudisha mateka+ wako pia na kukuonyesha rehema+ na kukukusanya tena kutoka kwa vikundi vyote vya watu ambako Yehova Mungu wako amekutawanya.+

  • Zaburi 103:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kama vile baba anavyowaonyesha wanawe rehema,+

      Ndivyo ambavyo Yehova amewaonyesha rehema wale wanaomwogopa.+

  • Danieli 9:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwake Yehova Mungu wetu, kuna rehema+ na msamaha,+ kwa maana tumemwasi.+

  • Hosea 2:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Nami nitakuchumbia mpaka wakati usio na kipimo,+ nitakuchumbia uwe wangu katika uadilifu na katika haki na katika fadhili zenye upendo na katika rehema.+

  • Waefeso 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Lakini Mungu, aliye tajiri katika rehema,+ kwa upendo wake mkubwa aliotupenda nao,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki