2 Na hakika wewe ukiapa,+ ‘Kama anavyoishi Yehova katika kweli,+ katika haki na katika uadilifu!’+ ndipo kwa kweli mataifa yatajibariki katika yeye, nayo yatajisifu katika yeye.”+
18 Ni nani aliye Mungu kama wewe,+ anayesamehe kosa na kuuachilia ukosaji+ wa mabaki ya urithi wake?+ Hatashikilia hasira yake milele, kwa maana yeye hupendezwa na fadhili zenye upendo.+