Isaya 4:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yehova atakapoosha uchafu wa* mabinti wa Sayuni+ na kusafisha umwagaji wa damu wa Yerusalemu kutoka ndani yake kwa roho ya hukumu na kwa roho ya kuteketeza,*+ Isaya Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 4:4 ip-1 69-70 Isaya Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 4:4 Unabii wa Isaya 1, kur. 69-70
4 Yehova atakapoosha uchafu wa* mabinti wa Sayuni+ na kusafisha umwagaji wa damu wa Yerusalemu kutoka ndani yake kwa roho ya hukumu na kwa roho ya kuteketeza,*+