Nehemia 9:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Na katika rehema zako nyingi hukuwaangamiza+ wala kuwaacha;+ kwa maana wewe ni Mungu mwenye neema+ na rehema.+ Zaburi 130:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kama ungekuwa unaangalia makosa,+ Ee Yah,Ee Yehova, ni nani angesimama?+
31 Na katika rehema zako nyingi hukuwaangamiza+ wala kuwaacha;+ kwa maana wewe ni Mungu mwenye neema+ na rehema.+