9 Kwa maana wakati mtakaporudi+ kwa Yehova, ndugu zenu na wana wenu wataonyeshwa rehema+ mbele ya wale wanaowashika mateka, na kuruhusiwa kurudi katika nchi hii;+ kwa kuwa Yehova Mungu wenu, ni mwenye neema+ na rehema,+ wala hatageuza uso kutoka kwenu mkirudi kwake.”+