Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 26:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Ndiyo, kwa ajili ya njia ya hukumu zako, Ee Yehova, tumekutumaini wewe.+ Tamaa ya nafsi imekuwa kwa ajili ya jina lako na kwa ajili ya ukumbusho wako.+

  • Isaya 56:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Na wageni ambao wamejiunga na Yehova ili kumhudumia+ na kulipenda jina la Yehova,+ ili kuwa watumishi wake, wale wote wanaoishika sabato ili wasiitie unajisi na kulishika agano langu,+

  • Zekaria 8:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Na vikundi vingi vya watu na mataifa yenye nguvu watakuja kumtafuta Yehova wa majeshi katika Yerusalemu+ na kuutuliza uso wa Yehova.’

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki