Isaya 26:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Tunapofuata njia ya hukumu zako, Ee Yehova,Tumaini letu liko kwako. Tunatamani* sana jina lako na ukumbusho wako.* Isaya Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 26:8 w01 3/1 19; ip-1 279 Isaya Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 26:8 Mnara wa Mlinzi,3/1/2001, uku. 19 Unabii wa Isaya 1, uku. 279
8 Tunapofuata njia ya hukumu zako, Ee Yehova,Tumaini letu liko kwako. Tunatamani* sana jina lako na ukumbusho wako.*