Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 87:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Mambo matukufu yanasemwa juu yako, Ee jiji la Mungu wa kweli.+ Sela.

  • Yeremia 14:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Usitutendee bila heshima kwa ajili ya jina lako;+ usikidharau kiti chako cha ufalme chenye utukufu.+ Ukumbuke; usivunje agano lako pamoja nasi.+

  • Ezekieli 43:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Naye akaniambia:

      “Mwana wa binadamu, hapa ndipo mahali pa kiti changu cha ufalme+ na mahali pa nyayo za miguu yangu,+ ambapo nitakaa katikati ya wana wa Israeli mpaka wakati usio na kipimo;+ nao, nyumba ya Israeli, hawataendelea tena kulitia unajisi jina langu takatifu,+ wao na wafalme wao,+ kwa uasherati wao na kwa mizoga+ ya wafalme wao wakati wanapokufa,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki