-
Ezekieli 43:7Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
7 Naye akaniambia:
“Mwana wa binadamu, hapa ndipo mahali pa kiti changu cha ufalme+ na mahali pa nyayo za miguu yangu,+ ambapo nitakaa katikati ya wana wa Israeli mpaka wakati usio na kipimo;+ nao, nyumba ya Israeli, hawataendelea tena kulitia unajisi jina langu takatifu,+ wao na wafalme wao,+ kwa uasherati wao na kwa mizoga+ ya wafalme wao wakati wanapokufa,
-