Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 29:45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 Nami nitakaa katikati ya wana wa Israeli, nami nitakuwa Mungu wao.+

  • Zaburi 68:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa nini ninyi, enyi milima yenye vilele, mnaendelea kutazama kwa wivu

      Mlima ambao Mungu ametamani kukaa ndani yake?+

      Naam, Yehova atakaa humo milele.+

  • Zaburi 132:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Hapa ndipo mahali pangu pa kupumzika milele;+

      Nitakaa hapa, kwa maana nimepatamani.+

  • Yoeli 3:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Nanyi mtajua ya kwamba mimi ni Yehova Mungu wenu,+ anayekaa katika Sayuni, mlima wangu mtakatifu.+ Na Yerusalemu litakuwa mahali patakatifu;+ wageni nao hawatapita tena kamwe kati yake.+

  • 2 Wakorintho 6:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na hekalu la Mungu lina upatano gani na sanamu?+ Kwa maana sisi ni hekalu+ la Mungu aliye hai; kama Mungu alivyosema: “Mimi nitakaa katikati yao+ na kutembea katikati yao, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki