1 Mambo ya Nyakati 11:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na wakaaji wa Yebusi wakaanza kumwambia Daudi: “Wewe hutaingia humu.”+ Hata hivyo, Daudi akaiteka ngome ya Sayuni,+ yaani, Jiji la Daudi.+ Zaburi 48:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wenye ukuu wa kupendeza, shangwe ya dunia yote,+Ni Mlima Sayuni ulioko sehemu za mbali za kaskazini,+Mji wa Mfalme Mkuu.+ Zaburi 132:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana Yehova amechagua Sayuni;+Amepatamani pawe makao kwa ajili yake mwenyewe:+
5 Na wakaaji wa Yebusi wakaanza kumwambia Daudi: “Wewe hutaingia humu.”+ Hata hivyo, Daudi akaiteka ngome ya Sayuni,+ yaani, Jiji la Daudi.+
2 Wenye ukuu wa kupendeza, shangwe ya dunia yote,+Ni Mlima Sayuni ulioko sehemu za mbali za kaskazini,+Mji wa Mfalme Mkuu.+