9 Na Daudi akaanza kukaa katika ngome hiyo, nayo ikaitwa Jiji la Daudi; na Daudi akaanza kujenga kuzunguka pande zote kuanzia Kilima+ na kuelekea ndani.
10 Na Daudi hakutaka kulileta kwake sanduku la Yehova katika Jiji la Daudi.+ Kwa hiyo Daudi akaagiza lipelekwe kando kwenye nyumba ya Obed-edomu,+ Mgathi.+