3Na Sulemani akafanya mapatano ya ndoa+ pamoja na Farao mfalme wa Misri, akamchukua binti ya Farao,+ akamleta katika Jiji la Daudi,+ mpaka alipomaliza kujenga nyumba yake mwenyewe+ na nyumba ya Yehova+ na ukuta wa Yerusalemu kuzunguka pande zote.+
29 “Wanaume, akina ndugu, inaruhusika kusema nanyi kwa uhuru wa kusema juu ya Daudi yule kichwa cha familia, kwamba alikufa+ na pia akazikwa na kaburi lake liko katikati yetu mpaka leo hii.