Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 5:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Hata hivyo, Daudi akaiteka ngome ya Sayuni,+ yaani, Jiji la Daudi.+

  • 1 Wafalme 3:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na Sulemani akafanya mapatano ya ndoa+ pamoja na Farao mfalme wa Misri, akamchukua binti ya Farao,+ akamleta katika Jiji la Daudi,+ mpaka alipomaliza kujenga nyumba yake mwenyewe+ na nyumba ya Yehova+ na ukuta wa Yerusalemu kuzunguka pande zote.+

  • 1 Wafalme 11:43
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Kisha Sulemani akalala pamoja na mababu zake,+ akazikwa katika Jiji la Daudi+ baba yake; na Rehoboamu+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake.

  • 1 Mambo ya Nyakati 11:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na Daudi akaanza kukaa katika mahali pagumu kufikiwa.+ Ndiyo maana walipaita Jiji la Daudi.+

  • Matendo 2:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 “Wanaume, akina ndugu, inaruhusika kusema nanyi kwa uhuru wa kusema juu ya Daudi yule kichwa cha familia, kwamba alikufa+ na pia akazikwa na kaburi lake liko katikati yetu mpaka leo hii.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki