1 Wafalme 1:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Na hakika itatukia kwamba mara tu bwana wangu mfalme atakapolala pamoja na mababu zake,+ mimi na mwanangu Sulemani tutaonwa kuwa wahalifu.” 2 Mambo ya Nyakati 9:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Mwishowe Sulemani akalala pamoja na mababu zake. Basi wakamzika katika Jiji la Daudi baba yake;+ na Rehoboamu+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake.+
21 Na hakika itatukia kwamba mara tu bwana wangu mfalme atakapolala pamoja na mababu zake,+ mimi na mwanangu Sulemani tutaonwa kuwa wahalifu.”
31 Mwishowe Sulemani akalala pamoja na mababu zake. Basi wakamzika katika Jiji la Daudi baba yake;+ na Rehoboamu+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake.+