9 Na Daudi akaanza kukaa katika ngome hiyo, nayo ikaitwa Jiji la Daudi; na Daudi akaanza kujenga kuzunguka pande zote kuanzia Kilima+ na kuelekea ndani.
20 Alianza kutawala akiwa na umri wa miaka 32, naye akatawala miaka 8 katika Yerusalemu. Mwishowe akaenda zake bila kutamaniwa.+ Basi wakamzika katika Jiji la Daudi,+ lakini si katika makaburi ya wafalme.+