Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 29:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Mwishowe akafa mwenye umri mwema wa uzeeni,+ ameshiba siku, utajiri+ na utukufu;+ na Sulemani mwana wake akaanza kutawala mahali pake.+

  • Ayubu 14:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Mwanadamu, aliyezaliwa na mwanamke,+

      Ana maisha mafupi+ na yenye kujaa msukosuko.+

  • Mhubiri 12:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Pia, wameogopa chochote kilicho juu, na kuna vitisho njiani. Nao mti unaozaa lozi hutoa maua,+ naye panzi hujikokota, na pilipili hupasuka, kwa sababu mwanadamu anakwenda kwenye nyumba yake ya muda mrefu,+ nao waombolezaji wamezunguka barabarani;+

  • Matendo 13:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Kwa maana Daudi,+ kwa upande mmoja, alitumikia mapenzi kamili ya Mungu katika kizazi chake mwenyewe na kulala katika kifo na alilazwa pamoja na mababu zake na kuona uharibifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki