1 Wafalme 1:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 1 Basi Mfalme Daudi alikuwa amezeeka,+ amesonga katika siku; nao wakawa wakimfunika kwa mavazi, lakini akawa hapati joto. Methali 16:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Kichwa chenye mvi ni taji la uzuri+ kinapopatikana katika njia ya uadilifu.+
1 Basi Mfalme Daudi alikuwa amezeeka,+ amesonga katika siku; nao wakawa wakimfunika kwa mavazi, lakini akawa hapati joto.