Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 5:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Daudi alikuwa na umri wa miaka 30 alipoanza kuwa mfalme. Akatawala kwa miaka 40+ akiwa mfalme.

  • 1 Wafalme 2:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na siku ambazo Daudi alitawala juu ya Israeli zilikuwa miaka 40.+ Katika Hebroni+ alitawala miaka 7,+ na katika Yerusalemu alitawala miaka 33.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 23:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Na Daudi alikuwa amezeeka+ na kushiba siku, basi akamfanya Sulemani+ mwana wake kuwa mfalme juu ya Israeli.

  • 1 Mambo ya Nyakati 29:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 na siku alizotawala juu ya Israeli zilikuwa miaka 40.+ Katika Hebroni alitawala miaka 7,+ na katika Yerusalemu alitawala miaka 33.+

  • Zaburi 90:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana siku za miaka yetu ni miaka 70;+

      Na ikiwa kwa sababu ya nguvu za pekee ni miaka 80,+

      Hata hivyo hizo husisitiza kuleta taabu na mambo yenye kuumiza;+

      Kwa maana lazima zipite upesi, nasi huruka na kwenda zetu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki