2 Samweli 5:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Daudi alikuwa na umri wa miaka 30 alipoanza kuwa mfalme. Akatawala kwa miaka 40+ akiwa mfalme. 1 Wafalme 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na siku ambazo Daudi alitawala juu ya Israeli zilikuwa miaka 40.+ Katika Hebroni+ alitawala miaka 7,+ na katika Yerusalemu alitawala miaka 33.+ 1 Mambo ya Nyakati 23:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Na Daudi alikuwa amezeeka+ na kushiba siku, basi akamfanya Sulemani+ mwana wake kuwa mfalme juu ya Israeli. 1 Mambo ya Nyakati 29:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 na siku alizotawala juu ya Israeli zilikuwa miaka 40.+ Katika Hebroni alitawala miaka 7,+ na katika Yerusalemu alitawala miaka 33.+ Zaburi 90:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana siku za miaka yetu ni miaka 70;+Na ikiwa kwa sababu ya nguvu za pekee ni miaka 80,+Hata hivyo hizo husisitiza kuleta taabu na mambo yenye kuumiza;+Kwa maana lazima zipite upesi, nasi huruka na kwenda zetu.+
11 Na siku ambazo Daudi alitawala juu ya Israeli zilikuwa miaka 40.+ Katika Hebroni+ alitawala miaka 7,+ na katika Yerusalemu alitawala miaka 33.+
23 Na Daudi alikuwa amezeeka+ na kushiba siku, basi akamfanya Sulemani+ mwana wake kuwa mfalme juu ya Israeli.
27 na siku alizotawala juu ya Israeli zilikuwa miaka 40.+ Katika Hebroni alitawala miaka 7,+ na katika Yerusalemu alitawala miaka 33.+
10 Kwa maana siku za miaka yetu ni miaka 70;+Na ikiwa kwa sababu ya nguvu za pekee ni miaka 80,+Hata hivyo hizo husisitiza kuleta taabu na mambo yenye kuumiza;+Kwa maana lazima zipite upesi, nasi huruka na kwenda zetu.+