Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 23
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Mambo ya Nyakati 23:1

Marejeo

  • +1Fa 1:1
  • +1Fa 1:33, 39; 1Nya 28:5

1 Mambo ya Nyakati 23:2

Marejeo

  • +1Nya 22:17; 28:1
  • +Kut 29:9
  • +Hes 3:6; 1Nya 13:2

1 Mambo ya Nyakati 23:3

Marejeo

  • +Hes 4:3

1 Mambo ya Nyakati 23:4

Marejeo

  • +1Nya 26:29
  • +Kum 16:18; 2Nya 19:8

1 Mambo ya Nyakati 23:5

Marejeo

  • +1Nya 26:12
  • +1Nya 6:31; 9:33
  • +1Fa 10:12

1 Mambo ya Nyakati 23:6

Marejeo

  • +2Nya 8:14; 31:2
  • +Kut 6:16

1 Mambo ya Nyakati 23:8

Marejeo

  • +1Nya 26:21
  • +1Nya 26:22

1 Mambo ya Nyakati 23:11

Marejeo

  • +1Nya 24:4

1 Mambo ya Nyakati 23:12

Marejeo

  • +Kut 6:18
  • +Kut 6:21
  • +Hes 3:27
  • +1Nya 6:2

1 Mambo ya Nyakati 23:13

Marejeo

  • +Kut 4:14
  • +Kut 6:20, 26
  • +Kut 28:1; Ebr 5:4
  • +Ebr 9:7
  • +1Sa 2:28
  • +Kum 21:5
  • +Law 9:22; Hes 6:23

1 Mambo ya Nyakati 23:14

Marejeo

  • +Zb 90:utangulizi
  • +1Nya 26:24

1 Mambo ya Nyakati 23:15

Marejeo

  • +Kut 2:22
  • +Kut 18:4

1 Mambo ya Nyakati 23:16

Marejeo

  • +1Nya 26:24

1 Mambo ya Nyakati 23:17

Marejeo

  • +1Nya 26:25

1 Mambo ya Nyakati 23:18

Marejeo

  • +Hes 3:27
  • +1Nya 24:22

1 Mambo ya Nyakati 23:19

Marejeo

  • +1Nya 24:23

1 Mambo ya Nyakati 23:20

Marejeo

  • +Kut 6:22

1 Mambo ya Nyakati 23:21

Marejeo

  • +Kut 6:19
  • +Hes 26:58; 1Nya 24:30
  • +1Nya 24:28

1 Mambo ya Nyakati 23:22

Marejeo

  • +Hes 36:11

1 Mambo ya Nyakati 23:23

Marejeo

  • +1Nya 24:30

1 Mambo ya Nyakati 23:24

Marejeo

  • +Hes 26:58
  • +1Nya 28:13
  • +Ezr 3:8

1 Mambo ya Nyakati 23:25

Marejeo

  • +2Sa 7:1; 1Nya 22:18
  • +1Fa 8:13; Zb 135:21

1 Mambo ya Nyakati 23:26

Marejeo

  • +Hes 4:15, 49

1 Mambo ya Nyakati 23:27

Marejeo

  • +2Sa 23:2

1 Mambo ya Nyakati 23:28

Marejeo

  • +Hes 3:9
  • +1Fa 6:36
  • +1Nya 9:26
  • +Ne 12:45

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Tafsiri ya Ulimwengu Mpya, uku. 2035

1 Mambo ya Nyakati 23:29

Marejeo

  • +Law 24:6; 1Nya 9:32
  • +1Nya 9:29
  • +Kut 29:23; Law 2:4
  • +Kut 29:2
  • +Law 7:9
  • +Law 7:12
  • +Law 19:36

1 Mambo ya Nyakati 23:30

Marejeo

  • +1Nya 16:37
  • +Kut 29:39
  • +Law 22:29; Zb 105:1; Flp 4:6
  • +1Nya 16:4; Zb 69:30; 2Ko 11:31

1 Mambo ya Nyakati 23:31

Marejeo

  • +Kut 20:10
  • +Hes 10:10; Zb 81:3
  • +Law 23:4

1 Mambo ya Nyakati 23:32

Marejeo

  • +Hes 1:53
  • +1Nya 9:27
  • +Hes 3:9

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Nya. 23:11Fa 1:1
1 Nya. 23:11Fa 1:33, 39; 1Nya 28:5
1 Nya. 23:21Nya 22:17; 28:1
1 Nya. 23:2Kut 29:9
1 Nya. 23:2Hes 3:6; 1Nya 13:2
1 Nya. 23:3Hes 4:3
1 Nya. 23:41Nya 26:29
1 Nya. 23:4Kum 16:18; 2Nya 19:8
1 Nya. 23:51Nya 26:12
1 Nya. 23:51Nya 6:31; 9:33
1 Nya. 23:51Fa 10:12
1 Nya. 23:62Nya 8:14; 31:2
1 Nya. 23:6Kut 6:16
1 Nya. 23:81Nya 26:21
1 Nya. 23:81Nya 26:22
1 Nya. 23:111Nya 24:4
1 Nya. 23:12Kut 6:18
1 Nya. 23:12Kut 6:21
1 Nya. 23:12Hes 3:27
1 Nya. 23:121Nya 6:2
1 Nya. 23:13Kut 4:14
1 Nya. 23:13Kut 6:20, 26
1 Nya. 23:13Kut 28:1; Ebr 5:4
1 Nya. 23:13Ebr 9:7
1 Nya. 23:131Sa 2:28
1 Nya. 23:13Kum 21:5
1 Nya. 23:13Law 9:22; Hes 6:23
1 Nya. 23:14Zb 90:utangulizi
1 Nya. 23:141Nya 26:24
1 Nya. 23:15Kut 2:22
1 Nya. 23:15Kut 18:4
1 Nya. 23:161Nya 26:24
1 Nya. 23:171Nya 26:25
1 Nya. 23:18Hes 3:27
1 Nya. 23:181Nya 24:22
1 Nya. 23:191Nya 24:23
1 Nya. 23:20Kut 6:22
1 Nya. 23:21Kut 6:19
1 Nya. 23:21Hes 26:58; 1Nya 24:30
1 Nya. 23:211Nya 24:28
1 Nya. 23:22Hes 36:11
1 Nya. 23:231Nya 24:30
1 Nya. 23:24Hes 26:58
1 Nya. 23:241Nya 28:13
1 Nya. 23:24Ezr 3:8
1 Nya. 23:252Sa 7:1; 1Nya 22:18
1 Nya. 23:251Fa 8:13; Zb 135:21
1 Nya. 23:26Hes 4:15, 49
1 Nya. 23:272Sa 23:2
1 Nya. 23:28Hes 3:9
1 Nya. 23:281Fa 6:36
1 Nya. 23:281Nya 9:26
1 Nya. 23:28Ne 12:45
1 Nya. 23:29Law 24:6; 1Nya 9:32
1 Nya. 23:291Nya 9:29
1 Nya. 23:29Kut 29:23; Law 2:4
1 Nya. 23:29Kut 29:2
1 Nya. 23:29Law 7:9
1 Nya. 23:29Law 7:12
1 Nya. 23:29Law 19:36
1 Nya. 23:301Nya 16:37
1 Nya. 23:30Kut 29:39
1 Nya. 23:30Law 22:29; Zb 105:1; Flp 4:6
1 Nya. 23:301Nya 16:4; Zb 69:30; 2Ko 11:31
1 Nya. 23:31Kut 20:10
1 Nya. 23:31Hes 10:10; Zb 81:3
1 Nya. 23:31Law 23:4
1 Nya. 23:32Hes 1:53
1 Nya. 23:321Nya 9:27
1 Nya. 23:32Hes 3:9
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Mambo ya Nyakati 23:1-32

1 Mambo ya Nyakati

23 Na Daudi alikuwa amezeeka+ na kushiba siku, basi akamfanya Sulemani+ mwana wake kuwa mfalme juu ya Israeli. 2 Ndipo akawakusanya wakuu+ wote wa Israeli na makuhani+ na Walawi.+ 3 Basi Walawi wakahesabiwa kuanzia umri wa miaka 30 na zaidi;+ na hesabu yao, kichwa kwa kichwa, mwanamume kwa mwanamume, ikawa 38,000. 4 Kati ya hao kwa ajili ya kuwa wasimamizi juu ya kazi ya nyumba ya Yehova kulikuwa na 24,000; na 6,000 kuwa maofisa+ na waamuzi;+ 5 na watunza-malango+ 4,000 na watu 4,000 wenye kutoa sifa+ kwa Yehova kwa vyombo+ ambavyo Daudi alisema “Nimevitengeneza kwa ajili ya kutoa sifa.”

6 Kisha Daudi akawagawa katika migawanyo+ kwa wana wa Lawi,+ kwa Gershoni, Kohathi na Merari. 7 Kwa Wagershoni, Ladani na Shimei. 8 Wana wa Ladani walikuwa Yehieli+ akiwa kichwa na Zethamu na Yoeli,+ watatu. 9 Wana wa Shimei walikuwa Shelomothi na Hazieli na Harani, watatu. Hao ndio waliokuwa vichwa vya upande wa baba kwa ajili ya Ladani. 10 Na wana wa Shimei walikuwa Yahathi, Zina na Yeushi na Beria. Hao wanne ndio waliokuwa wana wa Shimei. 11 Naye Yahathi akawa kichwa, Ziza wa pili. Nao Yeushi na Beria hawakuwa na wana wengi; kwa hiyo wakawa nyumba moja ya ukoo wa upande wa baba+ kwa ajili ya tabaka moja rasmi.

12 Wana wa Kohathi+ walikuwa Amramu, Ishari,+ Hebroni+ na Uzieli,+ wanne. 13 Wana wa Amramu walikuwa Haruni+ na Musa.+ Lakini Haruni akatengwa+ ili atakase Patakatifu Zaidi,+ yeye na wanawe mpaka wakati usio na kipimo, kufukiza moshi wa dhabihu+ mbele za Yehova, kumhudumia+ na kutangaza baraka+ katika jina lake mpaka wakati usio na kipimo. 14 Naye Musa yule mtu wa Mungu wa kweli,+ wanawe waliendelea kuhesabiwa kati ya kabila la Walawi.+ 15 Wana wa Musa walikuwa Gershomu+ na Eliezeri.+ 16 Wana wa Gershomu walikuwa Shebueli+ akiwa kichwa. 17 Na wana wa Eliezeri wakawa ni Rehabia+ akiwa kichwa; na Eliezeri hakupata kuwa na wana wengine, lakini wana wa Rehabia wakawa wengi mno. 18 Wana wa Ishari+ walikuwa Shelomithi+ akiwa ndiye mwanamume aliye kichwa. 19 Wana wa Hebroni walikuwa Yeria akiwa kichwa, Amaria wa pili, Yahazieli wa tatu na Yekameamu+ wa nne. 20 Wana wa Uzieli+ walikuwa Mika akiwa kichwa na Ishia wa pili.

21 Wana wa Merari+ walikuwa Mali na Mushi.+ Wana wa Mali walikuwa Eleazari+ na Kishi. 22 Lakini Eleazari akafa; naye hakuwa amepata wana, isipokuwa mabinti. Basi wana wa Kishi ndugu zao wakawachukua wawe wake zao.+ 23 Wana wa Mushi walikuwa Mali na Ederi na Yeremothi,+ watatu.

24 Hawa ndio waliokuwa wana wa Lawi kulingana na nyumba za baba zao,+ vichwa vya upande wa akina baba, kulingana na watu wao waliopewa utume, katika hesabu ya majina, kwa vichwa vyao, wafanyakazi kwa ajili ya utumishi+ wa nyumba ya Yehova, kuanzia umri wa miaka 20 na zaidi.+ 25 Kwa maana Daudi alikuwa amesema: “Yehova, Mungu wa Israeli, amewapa watu wake pumziko,+ naye atakaa Yerusalemu mpaka wakati usio na kipimo.+ 26 Na pia Walawi hawataibeba tena maskani au chochote kati ya vyombo vyake kwa ajili ya utumishi wake.”+ 27 Kwa maana kwa maneno+ ya mwisho ya Daudi hao ndio waliokuwa hesabu ya wana wa Lawi kuanzia umri wa miaka 20 na zaidi. 28 Kwa maana utendaji wao ulikuwa chini ya mwelekezo wa wana wa Haruni+ kwa ajili ya utumishi wa nyumba ya Yehova juu ya nyua+ na juu ya vyumba vya kulia chakula+ na juu ya utakaso wa kila kitu kitakatifu+ na kazi ya utumishi wa nyumba ya Mungu wa kweli, 29 kwa ajili ya mkate wa tabaka+ na kwa ajili ya unga laini+ wa toleo la nafaka na kwa ajili ya mkate mwembamba+ usio na chachu+ na kwa ajili ya keki za kuoka+ na kwa ajili ya unga wa kukandwa uliochanganywa+ na kwa ajili ya vipimo vyote vya wingi na ukubwa;+ 30 na kwa ajili ya kusimama+ kila asubuhi+ ili kumshukuru+ na kumsifu+ Yehova, na wakati wa jioni vivyo hivyo; 31 na kwa ajili ya kila toleo la dhabihu za kuteketezwa kwa Yehova katika sabato,+ katika miezi mipya+ na katika majira ya sherehe,+ kufuatilia hesabu kulingana na kanuni zenye kuzihusu, daima mbele za Yehova. 32 Nao wakafanya ulinzi wa hema la mkutano na ulinzi+ wa mahali patakatifu+ na ulinzi wa wana wa Haruni ndugu zao kwa ajili ya utumishi wa nyumba ya Yehova.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki